Rafiki yangu mpendwa karibu sana kwenye blog hii ya kujifunza kila siku. Nimerudi sasa tusonge mbele na kujifunza kila siku, naamini uko salama sana. Leo tunajifunza kuhusu nidhamu ya kuamua kufanya, tunapopanga kufanya kitu lazima tupange na kufanya. Watu wengi wanashindwa kufanikiwa kwenye maisha kwa sababu ya kukosa nidhamu hii. Watu wengi hukosa nidhamu kwa… Continue reading Mambo 4 yakuzingatia ili kuwa na nidhamu kali ya kuamua na kutenda