Rafiki Keith J Cunningham ni mfanyabishara mkongwe na mwekezaji. Kitabu chake kinatofautiana na vitabu vingi vya biashara. Kitabu hiki hakitoi njia za haraka za kufanikiwa badala yake kinazungumzia ukweli wa msingi. Watu wengi wanashindwa si kwa sababu hawana akili, bali kwa sababu wanafanya mambo makuu ya kijinga. Lengo kuu ya kitabu ni kutufundisha jinsi ya… Continue reading Mambo Makuu 5 Ambayo Nimejifunza Kutoka Kitabu Cha The Road Less Stupid Na Keith J. Cunningham.